SHEREHE ZA SIKU YA SHERIA DUNIANI ZAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
 *    Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akiwaongoza Wahe. 
Majaji wa Mahakama ya Tanzania katika Maandamano ya kuadhimisha Siku ya 
Sheria nchini leo asubuhi katika viwanja vipya vya Mahakama vilivyopo Mtaa 
wa Chimala karibu na Southern Sun Hotel.*
*   Baadhi ya Watumishi wa Mahakama ya Tanzania wakiwa katika Sherehe za 
Siku ya Sheria nchini.*
*      Jaji Mkuu Mstaafu, Mhe. Augustine Ramadhan  akiwa pamoja na Viongozi 
wengine wastaafu wa Mahakama katika sherehe hizo zilizofanyika mapema leo 
jijini Dar es Salaam na nchi nzima kwa ujumla
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment