Hapa gari hii  iliyokuwa ikiendeshwa Na WP akisogezwa  ili  kumpakia  askari  mwenzao hamakamani hapo 
Hapa gari likisogezwa upande wa pili baada ya upande huu kuona waandishi wametanda na kamera
Hapa polisi kanzu wakijiandaa kufungua mlango ili kumficha mwenzao
  
 hapa  wakimuingiza katika  gari huku  wakiwa  wamemfunika usoni kama anavyoonekana wa pili kushoto 
Hapa wakimsukumiza katika gari hilo
gari hilo likitoka kwa mwendo wa kasi mahakamani hapo likiwa na mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi
 
Hapa gari likisogezwa upande wa pili baada ya upande huu kuona waandishi wametanda na kamera
Hapa polisi kanzu wakijiandaa kufungua mlango ili kumficha mwenzao
Hapa wakimsukumiza katika gari hilo
gari hilo likitoka kwa mwendo wa kasi mahakamani hapo likiwa na mtuhumiwa wa mauwaji ya Mwangosi
 Mwanahabari Frank Leonard baada ya  kuachiwa  huru na polisi  leo
..............................................................................................................
 
No comments:
Post a Comment