Kauli hiyo ya Nape imekuja siku moja baada ya 
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kusema 
kuwa litakuwa jambo lisilo la kawaida kwa Bunge hilo kubadili hoja ya 
msingi iliyopo kwenye Rasimu ya Katiba, akisisitiza kuwa jukumu lake ni 
kuifanyia marekebisho.
                
                      Warioba alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza 
katika mkutano ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), 
kuhusu tafakuri na maridhiano kuelekea katika Katiba Mpya.
 
No comments:
Post a Comment