NAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI
 
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Mhe. Charles 
Kitwanga, amepokea Shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi katika bandari ya 
Mtwara na kueleza kuwa, ujio wa miundo mbinu hiyo ni neema kwa uchumi wa 
Tanzania. *
*Aliongeza kuwa, hiyo ni hatua kubwa katika kufikia malengo tarajiwa 
ikizingatiwa kwamba, kukamilika kwa mradi huo kutachochea na kufungua njia 
mbalimbali za uchumi unaoendana na sekta ya gesi na mafuta. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment