| 
Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa
Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake | 
| 
Mwandishi wa Mbeya
yetu joseph mwaisango akimpa pole bibi Enea kwa kumpa kiasi kidogo cha msaada
ili kimsaidie kwa siku hiyo maana chakula chote kimeharibika na maji | 
| 
Kanisa la Moravian
Ilolo likiwa limejaa maji ndani | 
| 
Hakika inasikitisha
watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa
ilionyesha jijini Mbeya  wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani | 
| 
Mwenyekiti wa mataa
Sinde A  Anyandwile Mwansanu akiongea na waandishi wa habari | 
| 
Mama na mwanae
mgongoni hajui aanzie wapi kutoa maji yalioingia nyumbani kwake | 
|  | 
 
No comments:
Post a Comment