
Katika
mahojiano hayo, Rais Kikwete alisema, Tanzania ilikuwa ni nchi yenye
tembo wengi zaidi duniani, lakini ujangili ulipokithiri, tembo
walipungua na kufikia 57,000 tu mwaka 1987.
“Mwaka
1989, Taasisi ya Kimataifa ya Cites, walipiga marufuku biashara ya meno
ya tembo duniani na ujangili ulipungua kwa kiasi kikubwa hivyo tembo
waliongezeka na kufikia, 110,000 mwaka 2009,” alisema.
No comments:
Post a Comment