Sunday 9 February 2014

Arsenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaallllllllllllll,

Screen Shot 2014-02-09 at 1.58.13 PM

Yani zile goli 5 walizofungwa Arsenal jana zimesababisha jina la timu hii litajwe na kuandikwa mara nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na kuambatanishwa na pichaz zikiwemo hizi.

Screen Shot 2014-02-09 at 12.52.46 PM
Screen Shot 2014-02-09 at 2.02.35 PM

No comments: