Monday 10 February 2014

KARIAKOO NAKO KAMA KAWAIDA MADUKA YAMEFUNGWA

SAM_3723 (FILEminimizer)
Baadhi ya maduka ya wafanyabiashara kariakoo yaliyofungwa
SAM_3724 (FILEminimizer)
kkoo1
Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung’ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.

No comments: