Saturday, 13 December 2014
List kamili ya Walioshinda Tuzo za TASWA 2013/2014 iko hapa, yupo aliyechukua Jumla ya Tuzo tatu

Tuzo kubwa ya kwanza iliyotolewa usiku wa jana ni Tuzo ya Heshima ambayo ilitolewa kwa Hayati Sheikh Abeid Aman Karume na kupokelewa na Mama Fatma Karume.
Sheridah Boniface alivunja Rekodi kwenye
sherehe hizo baada ya kutoka na jumla ya Tuzo tatu, Tuzo ya Jumla ya
Mwanamichezo Bora 2013/ 2014, tuzo ya Mwanamichezo Bora Chipukizi na
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Soka Wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu Wanawake imechukuliwa na Madina Iddy.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu imechukuliwa na Nuru Mollel.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu Wanawake imechukuliwa na Madina Iddy.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Gofu ya Kulipwa imechukuliwa na Hassan Kadio.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Kikapu Wanaume imechukuliwa na Lusajo Samweli.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Kikapu wanawake imechukuliwa na Sajda Ahmed Lyaimaga.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Wavu Wanaume imechukuliwa na Kelvin Peter Severino.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Wavu Wanawake imechukuliwa na Teddy Abwao.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Magongo Wanaume imechukuliwa na Yohana Wilson.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mpira wa Magongo Wanawake imechukuliwa na Kidawa Seremala.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Soka Wanaume imechukuliwa na Erasto Nyoni.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Walemavu imechukuliwa na Novatus Emmanuel Temba kwa upande wa Wanaume.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Walemavu imechukuliwa na Rehema Selemani Saidi kwa upande wa Wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Olimpiki Maalum imechukuliwa na Blandina Blasi kwa upande wa Wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Olimpiki Maalum imechukuliwa na Raphael Kalukula kwa upande wa Wanaume.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Nje anayechezea Tanzania imechukuliwa na Kipre Cheche.
Tuzo ya Mchezaji Bora Mtanzania anayechezea nje imechukuliwa na Mbwana Samatta.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mpira wa Mikono Wanaume imechukuliwa na Hemed Saleh.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mpira wa Mikono Wanawake imechukuliwa na Veronica Mapunda.
Tuzo ya Mwendeshaji Bora wa Baiskeli imechukuliwa na Richard Laizer kwa upande wa wanaume.
Tuzo ya Mwendeshaji Bora wa Baiskeli imechukuliwa na Sophia Adson kwa upande wa wanawake.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ngumi za Ridhaa imechukuliwa na Bondia Suleiman Kidunda.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa ngumi za Kulipwa imechukuliwa na Bondia Francis Cheka.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Wanaume imechukuliwa na Omary Sulle.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Tenisi Wanawake imechukuliwa na Rehema Athumani.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kike mchezo wa Judo imechukuliwa na Grace Alfonce Mhanga.
Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume mchezo wa Judo imechukuliwa na Geofrey Edward Mtawa.
Tuzo ya Mwanariadha Bora wa Kike imechukuliwa na Zakia Mrisho.
Tuzo ya Mwanariadha Bora wa Kiume imechukuliwa na Alfonce Felix.
Tuzo ya Muogeleaji Bora wa Kike imechukuliwa na Catherine MaswFriday, 12 December 2014
BASI LA KICHINA LA KUTUMIA UMEME
Bangalore Metropolitan Transport Corporation (BMTC) will soon run a Chinese-built electric bus to gauge its use in the city, The New Indian Express reports. A single BYD K9 bus is housed in a bus depot, waiting for approval from the regional transport authority, before being put into its paces.
The officials at BMTC will run the test mule for around 3 months before making a decision on purchasing it. The Corporation has also received an additional allocation of 90,000 volts from the city’s electricity controller. Even though the Corporation hasn’t zeroed in on the route for the bus, it is likely that it will undertake a long and traffic-ridden routes in order to test its capabilities.
BYD is a Chinese brand that builds the K9 or eBus vehicle. The K9 can run a distance of 250 km in a single charge in urban road conditions. The bus weighs 18 tons and has a length of 12,267 mm, width of 2,550 mm and height of 3,486 mm. The bus takes 5 hours to be charged normally and half that time for a ‘fast’ charge. The K9 can seat 31 people according to the newspaper report, but 40 as per the official website. The company claims that the K9 consumes less than 100 kWh/60 minutes.
The K9 uses an iron phosphate battery that was developed in house. It is also run in several countries like the USA, Hong Kong, Columbia, Chile, Spain, Denmark and the Netherlands
The officials at BMTC will run the test mule for around 3 months before making a decision on purchasing it. The Corporation has also received an additional allocation of 90,000 volts from the city’s electricity controller. Even though the Corporation hasn’t zeroed in on the route for the bus, it is likely that it will undertake a long and traffic-ridden routes in order to test its capabilities.
BYD is a Chinese brand that builds the K9 or eBus vehicle. The K9 can run a distance of 250 km in a single charge in urban road conditions. The bus weighs 18 tons and has a length of 12,267 mm, width of 2,550 mm and height of 3,486 mm. The bus takes 5 hours to be charged normally and half that time for a ‘fast’ charge. The K9 can seat 31 people according to the newspaper report, but 40 as per the official website. The company claims that the K9 consumes less than 100 kWh/60 minutes.
The K9 uses an iron phosphate battery that was developed in house. It is also run in several countries like the USA, Hong Kong, Columbia, Chile, Spain, Denmark and the Netherlands
Thursday, 11 December 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)