Monday 8 December 2014

Nguvu ya Mapenzi itamrudisha Chris Brown kwa Karrueche? Soma alichokiandika @Instagram

bouquet of roses with apology card

Weekend iliyopita imeisha kwa habari za kuisha kwa penzi la Chris Brown na Karrueche, halafu story kuibwa ya pili ikawa yale madongo ambayo kila mmoja akimtuhumu mwenzake kwamba  ndiye sababu ya mapenzi yao kuisha.
Imekuwa ni kama mchezo wa kuigiza kwa wawili hao kuachana na kurudiana, lakini kupitia ukurasa wake wa Instagram Chris ameandika ujumbe wa kumuomba radhi Karrueche huku akisema hajali watu wanamchukuliaje.
Ujumbe huo unasomeka hivi; ” Being young and dumb is one of my strong suits and emotional at best. I love hard and react impulsively when I’m hurt at times. I don’t think social media is a place to air out or hash out personal problems and a nigga feel hella WACK for doing it. So I AM APOLOGIZING I live in a glass house and the same sh*t that makes me great also is my curse. Everybody know I love that girl. I don’t care how my image my look to the public because I’m still gonna be the best at what I do. I just want baby girl to know I apologize!
Ujumbe huo umewekwa na picha hii
Karu & cHRIS

No comments: