Thursday 24 April 2014

Rekodi iliyowekwa na kiatu cha Cristiano Ronaldo alichovaa jana dhidi ya Bayern Munich

Real Madrid v FC Bayern Muenchen - UEFA Champions League Semi FinalUsiku wa jana kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya kati ya Real Madrid vs Bayern Munich mshambuliaji Cristiano Ronaldo alirudi uwanjani baada ya kukosekana kwa takribani wiki mbili uwanjani.
Pamoja na kurudi kwake na kuisaidia timu yake kushinda jana, lakini Ronaldo jana alitengeneza headlines kwa kiatu kipya cha kucheza alichovaa.
10299923_699658110097071_8417158352982918543_n
Ni kiatu kipya alichotengenezewa na kampuni ya Nike kilichotengenzwa kwa kuwekwa rangi ilitokana na dhahabu na ngozi nyeupe kilianza kuuzwa jana kwenye mtandao wa Nike.com lakini ndani ya sekunde kadhaa tu kiliuzwa stock yote – kiatu hiki ni limited edition na vilitengeneza viatu pea 100 tu.
Nike Cristiano Ronaldo 2014 Special Edition Boot Gold Clasico(1)
Kiatu kilichopewa jina la mercurial vapor ix cr7 white / black / gold kilikuwa kikiuzwa kwa kiasi cha 310 USD (235 Euro).

No comments: