Monday 21 April 2014

Picha 3 jinsi bondia mtanzania Francis Miyeyusho alivyochapwa round ya kwanza kwa KO


IMG_1776
Pambani hili limefanyika kwenye ukumbi wa PTA ambapo bondia Francis Miyeyusho amepigwa na bondia kutoa Thailand Sukkasem Kietyongyuth kwenye raundi ya kwanza kwa knock out.
Bondia huyo wa Thailand amempiga Miyeyusho dakika ya kwanza na sekunde 54 na kwenye hizo dakika alianguka mara kadhaa hadi refa anampa ushindi mthailand huyo.
IMG_1749

IMG_1776

IMG_1777

Picha na Seleh Jembe

No comments: