Jalada
 la kwanza ni la tuhuma za kutoa rushwa zinazomkabili mbunge ambazo 
zilitokana na walinzi wa CCM kumkamata wakidai alikuwa akifanya uhalifu 
huo na pili linahusu madai ya Kamili kuwa alitekwa, kudhalilishwa na 
kupigwa na wana-CCm hao. 
Iringa. Majalada
 mawili yaliyofunguliwa na polisi katika sakata la kutekwa kwa Mbunge wa
 Viti Maalum (Chadema), Rose Kamili yamefikishwa kwa Mwanasheria wa 
Serikali kwa ajili ya hatua zaidi.
Kamili
 alituhumiwa kutoa rushwa kwa wananchi wa Kijiji cha Kitayawa, Kata ya 
Luhota wakati wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga.
Jalada
 la kwanza ni la tuhuma za kutoa rushwa zinazomkabili mbunge ambazo 
zilitokana na walinzi wa CCM kumkamata wakidai alikuwa akifanya uhalifu 
huo na pili linahusu madai ya Kamili kuwa alitekwa, kudhalilishwa na 
kupigwa na wana-CCm hao.
Kaimu
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Wankyo Nyigesa alisema jana kuwa 
uchunguzi wa polisi umekamilika na wameyafikisha majalada hayo kwa 
Mwanasheria wa Serikali kwa ajili ya hatua zaidi.

 
No comments:
Post a Comment