Picha ya pamoja ya Makatibu wa Bunge wa Nchi za Jumuiya ya Madola (Afrika) pamoja na maafisa waandamizi wakati wa Mkutano wa Kamati ya Utendaji Jijini Dar es Salaam. Lengo la Mkutano huu ni kuandaa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Makatibu wa Bunge wa Jumuiya ya Madola (Afrika) utakaofanyika nchini Kenya mwezi Juni, 2014. (Picha na Prosper Minja – Bunge
Tuesday, 14 January 2014
Makatibu wa Bunge wa Jumuiya ya Madola (Afrika) wakutana Dar
Picha ya pamoja ya Makatibu wa Bunge wa Nchi za Jumuiya ya Madola (Afrika) pamoja na maafisa waandamizi wakati wa Mkutano wa Kamati ya Utendaji Jijini Dar es Salaam. Lengo la Mkutano huu ni kuandaa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Makatibu wa Bunge wa Jumuiya ya Madola (Afrika) utakaofanyika nchini Kenya mwezi Juni, 2014. (Picha na Prosper Minja – Bunge
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment