Saturday 5 July 2014

GARI LATEKETEA KWA MOTO DAR

Gari aina ya Toyota Starlet limeungua moto siku ya jana Mji Mwema Kigamboni Dar es Salaam siku ya jana. Chanzo cha moto kilitokana na mafundi kuchomelea na Mtungi wa gesi kulipuka.

No comments: