Thursday 3 July 2014

Huyu hapa Mchezaji mwingine wa Yanga aliyehamia Azam Fc.

chuji
Taarifa ambayo imekua kama ya ghafla ni kuhusu Aliyekuwa mchezaji kiungo wa Yanga Athumani Iddi ‘Chuji’ kijiunga na timu ya Azam Fc na asubuhi ya leo ameonekana akiwa mzoezini Uwanja wa Azam Complex Chamazi, Dar es Salaam.
chujiiii

No comments: