Wanamtuhumu Katy Perry kwa kutumia nyimbo yao iliyotoka mwaka 2008 waliyomshirikisha Lecrae bila ruhusa na kuharibu ujumbe wa kidini uliopo ndani ya nyimbo hiyo na kutumia picha za “kichawi” na nguvu za kidunia.
Nyimbo ya Dark Horse iliongoza katika chati za muziki za Billboard kwa wiki kadhaa mwezi January.
Kundi la marapa wa nyimbo za injili Flame aka Marcus Gray, Lecrae Moore, Emanuel Lambert na Chike Ojukwu wanataka kulipwa fidia na mwanamuziki huyo,, studio yake ya Capitol, na waandishi wa nyimbo Dr Luke na Max Martin kwa kuiba hakimiliki za wimbo wao
No comments:
Post a Comment