Wednesday 5 March 2014

Picha 8 za mgomo wa Matatu Kenya leo na sababu zake.

DSCF3996
Unaambiwa ada mpya ya kuegesha magari Nairobi imeleta utata miongoni mwa wadau katika sekta ya daladala zao a.k.a Matatu na miji ya karibu ambapo kwa sasa shughuli zimesimama Nairobi, kuanzia uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta kupitia barabara ya jogoo, mjini na barabara kuu ya Uhuru highway inayounganisha jiji la Mombasa na miji ya Magharibi mwa nchi hiyo.
DSCF3993
Ada hii mpya inamaanisha kwamba kila aliye na Matatu analipishwa shilingi Kenya shilingi 8,000 kwa mwezi ambayo kwa Tanzania ni zaidi ya 140,000, kiasi ambacho Madereva wanasema mapato ya 14 seater hayawezi kumudu kulipa gharama hiyo.
DSCF3977
Wafanyabiashara ya mabasi kutoka mji wa Mombasa inamaana wao wanalipia kwa jimbo la Mombasa, Taita Taveta, Machakos na jimbo la Nairobi kwa kusimama katika miji ya Mombasa, Voi, Machakos na Nairobi.
DSCF3994

DSCF3973

DSCF3979

Screen Shot 2014-03-05 at 2.20.27 PM

Screen Shot 2014-03-05 at 2.20.35 PM

Screen Shot 2014-03-05 at 2.20.44 PM


No comments: