Lori la mafuta lililopo upande wa kulia na lori la mizigo lililopo upande wa kushoto yaligongana na kuziba barabara kwenye mlima Kitonga na kusababisa magari mengine kukwama kwa zaidi ya saa nne
Monday, 17 March 2014
MALORI YAGONGANA MLIMA KITONGA, ABIRIA WAKWAMA KWA ZAIDI YA SAA NNE...!!
Lori la mafuta lililopo upande wa kulia na lori la mizigo lililopo upande wa kushoto yaligongana na kuziba barabara kwenye mlima Kitonga na kusababisa magari mengine kukwama kwa zaidi ya saa nne
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment