Tuesday 3 June 2014

KWENYE NJAA KALI CHOCHOTE KINAWEZEKANA ASKARI FEKI NA BOSS WAKE FEKI WAKAMATWA IRINGA


Vijana  wanaotuhumiwa  kufanya utapeli  mkoa  wa Iringa na Morogoro kwa kujifanya maofisa wa  polisi mmoja  kulia akijifanya askari polisi na kushoto akijifanya ni mkuu wa  jeshi la polisi mjini wakiwa  chini ya ulinzi wa polisi mjini Iringa leo

No comments: