Thursday 5 June 2014

BAADA YA MBINGA DSM NA SONGEA DOM SASA NI ZAMU YA MBINGA MBEYA NA SUPER FEO EXPRESS

 basi dogo la kampuni ya mabasi yenye ubora wa kuaminika kwa kusafirisha abiria mkoa wa ukanda wa kusini(super feo) limeanza safari ya mbinga mbeya kupitia songea,njombe na makambako ili kurahisisha usafiri kwa wakazi wa mbinga hatua hii imechukuliwa na kampuni hii baada ya safari ya mbinga dsm na ile ya songea dodoma kukubaika na wasafiri wa ukanda wa kusini sasa tutegemee safari nyingine mpya baada ya hii


No comments: